HABARI MPYA LEO  

Kesi ya mauaji ya marehemu Steven Kanumba inayomkabili movie star wa Tanzania Elizabeth Michael (Lulu) imeendelea kutajwa katika mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam huku suala la umri wa mshitakiwa huyo likiendelea kuwekwa kiporo.

Mbele ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu AUGUSTINA MMBANDO, Wakili wa Serikali KENNETH SEKWAO amesema upelelezi bado haujakamilika na kwa sasa ipo katika hatua ya kutajwa.

Mapema baada ya LULU kufunguliwa mashitaka ya mauaji ya msanii mwenzake STEVEN KANUMBA April mwaka huu, mawakili wanaomtetea waliwasilisha hoja ya kupinga umri wa mshitakiwa huyo na kutaka achukuliwe kama mkosaji mtoto kutokana na umri wake kuwa chini ya miaka 18 hali iliyolazimu suala hilo kupelekwa Mahakama Kuu ya Tanzania iliyoamua kulirejesha jambo hilo kwenye mahakama ya Kisutu.

Pamoja na kurejeshwa kwa suala hilo katika mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu kumekuwa na ukimya wa muda sasa, kesi ya LULU imeahirishwa mpaka Disemba 17 mwaka huu ambapo itakwenda kwaajili ya kutajwa.
Hii ni matokeo ya kudumisha mila na desturi za kurithiana.

Mama Condorada Ngonyani mwenye umri wa miaka 70 anaishi kinyumba kama mke na mume na mwanaye wa tatu wa kumzaa mwenyewe akidai kuwa mara baada ya kufariki mume wake, Mzee Mapunda alimchagua mtoto wake amrithi baba yake.

Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wameiomba Serikali kupitia Wizara ya Maendelo ya Jamii, Jinsia na wtoto kuangalia kati sheria inayomruhusu Mtoto na Mama Mzazi kuweza kuishi kindoa


Umati wa watu wapatao 400 ulifurika kwa Mganga wa Jadi Flora Ndembo Namabengo wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma wakiiomba Serikali ichukue Mkondo wa Sheria dhidi ya condorada ngonyani na joseph Mapunda.


Joseph Mapunda mwenye umuri wa miaka 40 amesema ameweza kuishi kindoa na Mama yake Mzazi Condorada Ngonyani 70 baada ya yeye kukubaliana wenyewe yeye na mama yake mzazi kuishi kindoa kama mume na mke.

Alipo ulizwa Mama alikiri kuwa kweli wameishi kindoa kwa miaka 10 na anampenda Mume wake ambaye ni Mtoto wake Joseph Mapunda.
Mama Condorada Ngonyani mwenye umuri wa miaka 70 ambaye ana ishi kinyumba na mtoto wake watatu wa kumzaa mwenyewe kama Mke na Mume hapo anaonekana akisononeka kwa nini jamii iingilie ndoa yake
Kwa mkoa wa Ruvuma hii ni mara ya kwanza mtoto wa kiume Joseph Mapunda pichani hapo juu kutembea na mama yake mzazi. 
Wana Ruvuma wanauliza tume jikwaa wapi watanzani hadi kupoteza mila desturi na maadili ya mtanzania pia kukiuka sheria za dini
Joseph Mapunda ana sema upendo ni upendo amempenda mama na anaishi kindoa wamependana nyie watu mnataka nini kwetu ?
Mama Condorada Ngonyani anasema mara baada ya kufariki mume wake Mzee Mapunda alimchagua mtoto wake amrithi baba yake
2.1 Mauzo ya Nje
Mheshimiwa Spika, Wizara ya Fedha kupitia Benki Kuu ya Tanzania inapaswa kuhakikisha kuwa Akiba ya Fedha za Kigeni nchini inakuwa imara muda wote. Biashara ya nje ndio inaingiza Fedha za kigeni nchini kwa hiyo ni eneo la kutazama kwa makini na kuchukua hatua mwafaka. Taarifa ya mwenendo wa uchumi kwa mwezi Julai iliyotolewa na Benki kuu inaonyesha kuwa jumla ya mauzo ya Tanzania  nje yalikuwa dola za kimarekani 7,990.0 milioni ukilinganisha na kiasi cha dola 7,050.7 milioni kwa kipindi kama hicho kwa mwaka 2011 na hali hii ilisababishwa kwa kiasi kikubwa kutokana na kuongezeka kwa bei ya mauzo ya dhahabu. Hata hivyo Manunuzi yetu kutoka nje yamefikia dola za Kimarekani 12,959 milioni.

Mheshimiwa Spika, taarifa hiyo inaonyesha kuwa mauzo ya dhahabu Nje kwa mwaka 2011 yalikuwa kiasi cha dola 2,330.7 milioni sawa na aslimia 56.7% ya mauzo yote nje, wakati mauzo ya nje kutokana na bidhaa zilizozalishwa viwandani yalikuwa na jumla ya dola 922.0 milioni sawa na asilimia 22.4% ya mauzo yote ya nje. Aidha mauzo ya mazao mbalimbali kama Pamba, Katani, Korosho, Chai, Kahawa na mengineyo yalikuwa na thamani ya dola 761.1 milioni kwa kipindi hicho cha mwaka 2012.

Mheshimiwa Spika, taarifa hiyo imeendelea kuonyesha kuwa tuliagiza bidhaa kutoka nje zenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 12,958.7.  Katika manunuzi hayo tuliyofanya mafuta peke yake yalikuwa na thamani ya dola za Kimarekani milioni 3,586.1  ambalo ni ongezeko la asilimia 60.08% ukilinganisha na kipindi kama hicho kwa mwaka 2011.

Mheshimiwa Spika, takwimu hizi zinaonyesha kwamba fedha zote za kigeni zilizotokana na mauzo ya dhahabu, bidhaa za viwandani na Korosho zilitumika kuagiza mafuta pekee yake! Hali hii ni mbaya sana kwa uchumi wa Taifa letu na juhudi zote za kuongeza mauzo nje zinaliwa na uagizaji wa Mafuta ambao umepanda sana katika siku za hivi karibuni.

Kambi Rasmi ya Upinzani inatambua kuwa kuanzia mwaka jana Serikali imekuwa ikitekeleza mpango wa Umeme wa dharura ambao umepelekea matumizi makubwa ya Mafuta. Hata hivyo ieleweke kuwa Mpango mzima wa Manunuzi ya Mafuta ya kuendesha mitambo ya Umeme inaligharimu Taifa Fedha nyingi sana. Takwimu zinaonyesha kuwa Serikali inapaswa kutumia zaidi ya shilingi 42 bilioni kila Mwezi kuendesha mitambo ya dharura ya Umeme. Manunuzi yenyewe ya Mafuta yamejaa mazonge ya ufisadi uliokithiri. Licha ya kutaka Spika aunde timu ya kuchunguza ufisadi katika manunuzi ya Mafuta na licha ya Kamati ya Bunge kutaka Uchunguzi wa kibunge kufanyika katika manunuzi haya bado hakuna hatua inayochukuliwa. Kambi Rasmi ya Upinzani inaitaka Mamlaka ya Manunuzi ya Umma PPRA kufanya uchunguzi wa kina kuhusu manunuzi ya mafuta kuzalisha Umeme ambayo yanachoma bilioni 42 za Serikali kila Mwezi. PPRA hapaswi kufumbia macho manunuzi yanayotafuna shilingi 1.4 bilioni kila siku na yanayoongeza manunuzi ya nchi kutoka nje (imports) na hivyo kupoteza fedha za kigeni hovyo.

Mheshimiwa Spika, Wizara ya Fedha ambayo ndio wizara mama ya PPRA kupitia Fungu 50, na ndio Wizara yenye kusimamia uchumi wa nchi kwa ujumla ituletee Bungeni Taarifa ya Uchunguzi utakaofanywa na PPRA kuhusu manunuzi shilingi 1.4 bilioni kila siku ya mafuta kuendesha mitambo ya kuzalisha Umeme.

CHANZO: http://zittokabwe.wordpress.com/2012/08/15/highlights-za-hotuba-mafuta-yala-dhahabu-yote-korosho-na-viwanda-zitto/

Mishahara hewa nchini
Mheshimiwa Spika, katika hotuba ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani kuhusu makadirio ya mapato na matumizi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma kwa mwaka wa fedha 2012/2013, tulitaja kiasi cha shilingi bilioni 9 ambazo zililipwa kama mishahara kwa watumishi hewa kama ilivyoripotiwa na magazeti ya ‘The Daily News’ na ‘The Guardian’ ya Machi 23, 2011.

Mheshimiwa Spika, ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya tarehe 31 Machi, 2012 inaonesha kwamba kwa mwaka wa fedha 2010/2011 jumla ya shilingi 142,715,827.99 zililipwa kama mishahara kwa wastaafu, watumishi walioacha au kufukuzwa kazi na watumishi wengine ambao hawakustahili. Aidha, ripoti hiyo imeonesha kiasi cha shilingi 1,842,607,565.29 zilizolipwa kama mishahara hewa kwa mwaka wa fedha 2009/2010.

Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa taarifa ya Waziri wa Fedha kwa kamati ya kudumu ya Bunge ya fedha na uchumi ya tarehe 7 Agosti, 2012 ni kwamba uhakiki wa watumishi  uliofanyika mwezi Januari, 2012 kwenye Halimashauri 133 na kwenye taasisi na wakala za Serikali 154 ulibaini majina 9,949 ya watumishi wasiostahili kuwemo kwenye orodha ya mishahara. Idadi hii ya watumishi hewa ni sawasawa na takribani idadi ya watumishi walioajiriwa katika sekta nzima ya madini kwenye migodi ya dhahabu hapa nchini. Watumishi hewa wanaokaribia 10,000 ni wengi mno na inaonyesha dhahiri namna Serikali isivyo makini katika suala hili ambalo linasababisha upotevu mkubwa wa Fedha za Umma.

Mheshimiwa Spika, Waziri wa Fedha alikiri mbele ya Kamati ya Fedha na Uchumi kwamba mwezi Februari Serikali ililipa shilingi bilioni 5.1 kama mishahara hewa. Hii maana yake ni kwamba Serikali hutumia zaidi ya shilingi bilioni 70 kila mwaka kwa watumishi hewa wa Serikali.

Mheshimiwa Spika, tunataka fedha hizi wanazolipwa watumishi hewa zitumike kuwalipa walimu na madaktari madai yao kwani ni nyingi na zinatosha sana. Siku zote sababu za Serikali kutotimiza matakwa ya wafanyakazi kwenye sekta ya Afya na Elimu ni kwamba Serikali haina Fedha. Lakini hapa tunashuhudia Shilingi bilioni 70 kila mwaka zikiteketea kulipa watumishi hewa ambao hawapo, hawafanyi kazi na hivyo kufaidisha mtandao wa kifisadi ambao kwa vyovyote vile unaanzia Wizara ya Fedha na Wizara ya Utumishi. Serikali inakosa vipi fedha za kulipa madai ya Walimu na inapata za kulipa watumishi hewa? Serikali inakosa vipi fedha za kulipa Madaktari na Manesi lakini inapata shilingi bilioni 70 kila mwaka kulipa watumishi hewa?

Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani inataka mradi huu wa watumishi hewa wenye mauzo (turnover) ya shilingi 70 bilioni kwa mwaka uvunjwevunjwe ili kupata fedha za kulipa Walimu na Madaktari. Waziri wa Fedha asambaratishe mtandao huu mwovu ambao sasa umeota mizizi kwenye Taasisi za Serikali. Vile vile Waziri agawe kwa Wabunge taarifa ya uhakiki wa wafanyakazi wa Serikali na pia hatua ambazo Serikali imechukua dhidi ya vinara wa mtandao wa watumishi hewa Serikalini.
SOURCE: http://zittokabwe.wordpress.com/

Baadhi ya watu wamekuwa wakilalamika juu ya tags za picha wasizozitaka kutoka kwa watu mbalimbali. Huna haja ya kugombana na rafiki zako au watu wote ukiwalaumu juu ya hili. Lipo ndani ya uweza wako mwenyewe. Ndani ya muda mfupi utamaliza tatizo hili kabisa. Ni kurekebisha settings za akaunti yako kwenye privacy settings na sharing. Kwa taarifa yako kama ulikuwa haujui unaweza ukachagua hata watu gani wakutumie meseji. Kuhusu tags, chagua kuwa watu wakutag kama watataka ila picha isionekane kwenye wall yako mpaka utakapo-approve wewe, unaoptions 2, kukubali au kukataa na picha haitaonekana kabisa.

Kama nilivyokuahidi, maelekezo ni kama ifuatavyo:

Kwanza ukiwa umelog in kwenye akaunti yako ya facebook nenda upande wa kulia kabisa kuna sehemu iliyoandikwa HOME ikifatiwa na kamshale kanakoshuka chini ambacho wengi wetu hukitumia tunapotaka menu ya kulog out facebook. Ukibonyeza huo mshale sio HOME itakuja option yenye headings kama unazoziona hapa chini kwenye mchoro: Chagua private settings
NB: Kama umelog in kwa kutumia simu yako ya mkononi Privacy settings ipo chini kabisa upande wa kulia. Click kisha twende sambamba na maelekezo haya.
Ikiisha funguka utaona option nyingi kama zinavyoonekana kwenye picha hapa chini, kwa kuwa lengo letu kwa sasa ni kushughulikia TIMELINE AND TAGS. Upande wa kulia wa heading hiyo Kuna Maandishi 
"Edit Setting" click hapo then twende wote hatua ya tatu. Kama tumekuacha sehemu yeyote rudi nyuma usome maelekezo kisha uendelee kuungana na mtaalamu wetu kwa udhamini wa Maganga Media.
 
 Haya ndio utakayoyaona.


    • To remove your tag from a post, simply click the "remove tag" button under the post.
  • Choose who can see posts that you're tagged in. Choose from the options in the drop down menu, or create your own option by clicking "Custom."

  • Decide whether or not to enable tag suggestions. When your friend uploads a photo that looks like you and this feature is enabled, Facebook will suggest that they tag you. The tag will only appear if your friend approves it.

  • Enable or disable tagging from the "places" app. Leaving this option enabled will allow your friends to tag you with them when they check in to places. You will always be notified when friends check you in with them, and you have the ability to remove the check-in from your profile.

  • Turn on Tag Review. Turning on tag review will allow you to review any tags your friends add to your profile before the tags appear.








Kama una swali tuonane kwenye comments boksi hapo chini

Mtandao wa kijamii kama ilivyo kawaida ya watu wakutanapo kwa pamoja wengi hapakosi mengi, ndivyo ambavyo watu wasio na nia njema wamekuwa wakijipenyeza miongoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii ikiwemo Facebook.

Mtu anaweza kujiuliza swali iweje iwe rahisi kiasi hiki kusumbuliwa au kukutwa na uharifu wa mtandaoni kupitia akaunti yako ya facebook ambayo umeifungua kwa nia njema kabisa. Kwa faida yako unashauriwa kufuata maelekezo yaliyopendekezwa kama njia moja wapo ya kujiweka salama. Maelezo haya yatakuongoza kujua namna ya kuzigundua akaunti za uongo na kujiepusha na watu wa jinsi hiyo. Pamoja na hayo bado unaweza ukakutana na akaunti ambayo ni halisi na mtumiaji wake anafahamika, lakini sio kigezo cha kujiaminisha asilimia 100 juu ya kile unachokifanya ukiwa mtandaoni.

Kama ushauri tu, wakati wewe unafurahia huduma zipatikanazo katika mitandao ya kijamii kuna watu usiku na mchana hawalali wanawaza jinsi gani waweze kunufaika na mtandao huo huo ambao wewe unautumia. Kama unakumbuka vizuri kuna tukio lilifedhehesha watu humu facebook mwezi wa Mei na kufanya baadhi yetu akaunti zao zipotee kabisa.

Tukio lilihusu picha ya video ya Rihana, ilikuja kama link fulani, cha kushangaza kila aliyeigusa tu alionekana kuwa ndiye aliyepost picha hiyo na kutapakaa kwa marafiki zake ikiwashawishi nao kuangalia. Katika hali ya kawaida unapoona post imekuja kwa jina la rafiki yako wa karibu sana lazima tu utaiangalia. Nilipatwa na mkasa huo lakini kwa kuwa binafsi najiita BA Facebook, niliweza kukabiliana nayo.

Madhara ya akaunti zisizo halisi (Fake Facebook accounts)
Kama unajiuliza nini kitakupata kwa kuwa na rafiki wa facebook asiye na akaunti halisi, kuna baadhi ya vitu vinaweza kukusababishia hasara kwa njia moja ama nyingine. Kwa mfano unaweza kuamini kuwa mtu anakujali na kukuthamini sana kumbe nia yake ni kucheza na akili yako ili umuamini na hatimaye kupata pesa au vitu vingine kutoka kwako kama taarifa za siri na kuzitumia kuwaibia rafiki zako wa karibu.

Kuhusu usalama wa akaunti yako:
Baadhi ya watu wamekuwa wakilalamika juu ya tags za picha wasizozitaka kutoka kwa watu mbalimbali. Huna haja ya kugombana na rafiki zako au watu wote ukiwalaumu juu ya hili. Lipo ndani ya uweza wako mwenyewe. Ndani ya muda mfupi utamaliza tatizo hili kabisa. Ni kurekebisha settings za akaunti yako kwenye privacy settings na sharing. Kwa taarifa yako kama ulikuwa haujui unaweza ukachagua hata watu gani wakutumie meseji. Kuhusu tags, chagua kuwa watu wakutag kama watataka ila picha isionekane kwenye wall yako mpaka utakapo-approve wewe, unaoptions 2, kukubali au kukataa na picha haitaonekana kabisa.


MAELEKEZO NA MICHORO YA KUREKEBISHA TAARIFA ZA USALAMA KWA AJILI YA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK YATAKUIJIA HIVI PUNDE. USIKAE MBALI NA MAGANGA MEDIA. 


KAMA UNA SWALI LOLOTE LIANDIKE KWENYE SEHEMU YA MAONI CHINI YA HABARI HII ILI YAWEZE KUJIBIWA MOJA KWA MOJA AU KATIKA MAKALA ZINGINE ZITAKAZOFUATA. MAONI YAKO NI MSINGI WA MABORESHO YA HUDUMA ZETU.

CHINI YA SEHEMU YA MAONI PIA KUNA LIST YA HABARI ZINGINE UNAWEZA VUTIWA NAZO AU CLICK HOME HAPO JUU KABISA KUONA HABARI ZOTE ZILIZOMO.



HAYA TENA JINSI YA KUONDOA TAGS IMEKAMILIKA.
CLICK HERE TO READ IT.
USIDHANIE TATIZO LAKO NI KUBWA KULIKO LA MWENZAKO….

Muda mfupi tu baada ya kumaliza Chuo nikiwa mitaa ya home Survey nikipata Juice katika Bar moja maarufu sana hapa mtaani kwetu inayoitwa Brajec alitokea jamaa mmjoa raia wa kigeni (Mreno)akaa meza moja na mimi na kunisalimia akiniambia yeye anaitwa Johnson nami nikamwambia naitwa Greyson basi tuka shake hands kisha akaagiza kinywaji aina ya wisky G,Grouw akaletewa pamoja na pakti moja ya sigara aina ya embassy,wakati akiendelea kunywa funda la pili na la tatu akafungua maongezi(lakini kwa kiingereza)akiniuliza kama kuna jambo ambalo nilishalifanya au kufanyiwa na mtu na likaitesa nafsi yangu… ?Mimi nikawa njia panda kidogo kisha nikamuuliza katika Nyanja ipi? Familly,jamii,kitaifa au Personal?akanijibu vyovyote kati ya hivyo ulivyovitaja…

Nikamwambia nimemaliza chuo juzi(I mean this July) sina kazi ndio kwanza natafta kazi hapa mjini lakini kitu cha kushangaza Wazazi wameishaniandalia mchumba ambaye wanataka nije kumuoa hapo baadae eti kwa kigezo kwamba ni family friend wao na wana uhusiano mzuri sana na wazazi wa huyo binti…zaidi ya hayo ni kwamba wazazi wa huyo binti wanatoka kabila moja na wazazi wangu na tena kijiji kimoja…Mimi binafsi niliwakatalia coz siwezi nikaoa mtu ambaye simjui na tena sijawahi hata kuongea nae kuhusu mambo yoyote ya kimahusiano kwani yeye binti amemaliza chuo London(UK) na mara chache sana nimewahi kumuona ktk sherehe za kifamilia,Hivyo nikawakatalia wazazi tena wazi wazi bila kificho, sasa nimezusha mtafaruku katika familia yangu hivi sasa kutokana na hilo tatizo…coz sipendi nimdanganye mtoto wa watu kwani hata nikimuoa hata kuwa moyoni mwangu sasa yanini nijisumbue kupenda pasipo pendwa…?hadi kufikia hapo nikaona Mzungu jasho jembamba linamtoka then akasema bora yako wewe ndugu yangu….akasema kwa upande wake yeye ni kwamba…

Kuhusu masuala ya ndoa yeye alipata bahati ya kumuoa Mama mmoja ambaye alikuwa ni mjane(Widow)huko kwako walitokea kupendana sana nawakaishi kwa kipindi cha miaka 3 ndani ya mapenzi yao kabla ya kukutana na huyo mama tayari alikuwa na watoto 3 wa kike2 na 1 wakiume,”baada ya kuishi kwa kipindi kirefu tukaamua kuoana mimi na Yule mama lakini kitu cha kushangaza Baba yangu Mzazi akawa na uhusiano na binti mkubwa wa huyu mke wangu na ikafikia hatua wakafunga ndoa Baba na Grace(ambaye ni mwanangu wa kufikia sasa)hivyo baba yangu akawa Mkwe wangu(I mean my son in law)na mimi nikawa Baba Mkwe wake(I mean my father’s father in law ).

Hivyo basi kisheria hivi sasa binti yangu(Grace)ni Mama yangu na Mke wangu(Mama Grace)ni Bibi yangu tatizo likaja nilipozaa mtoto wa kiume na mama Grace anaitwa George that means now my son is my father’s brother(shemeji) na kwa upande mwingine ni Mjomba wangu,hali ikawa mbaya zaidi Baba alipopata mtoto wa kiume ambaye sasa ni mjukuu wangu na kwa upande mwingine ni kaka yangu.

But ultimately I have became my own grandfather and I’m my own grandson….And you say you have a Familly Problems than me?” hadi kufikia hapo ikawa ni zamu yangu kutokwa na kijasho chembamba usoni…..Sikuwa na jibu naomba kuwasilisha wadau…….
Written by
Greyson Gramssein

Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya “Daka Salio” iliyofanyika katika makao makuu ya Airtel , pichani kushoto ni Afisa uhusiano wa Airtel na kulia ni Meneja bidhaa wa Airtel Salim Madati
Afisa mawasiliano na matukio wa Airtel Bi Dangio Kaniki akifafanua kuhusu huduma ya mpya ya “Daka Salio” wakati wa Uzinduzi wa huduma hiyo uliofanyika katika makao makuu ya ofisi za Airtel Morocco na kuhudhuriwa na waandishi wa habari, katikati ni Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akifuatiwa na Meneja Bidhaa Salim Madati.
Maafisa wa Airtel kwa pamoja wakionyesha vipeperushi vya huduma mpya ya “Daka Salio” wakati wa Uzinduzi wa huduma hiyo uliofanyika katika makao makuu ya ofisi za Airtel Morocco na kuhudhuriwa na waandishi wa habari, kutoka kushoto ni Afisa mawasiliano na matukio Bi Dangio Kaniki, Meneja Uhusiano Jackson Mmbando na Meneja Bidhaa Salim Madati.
----
AIRTEL YAJA NA KOPA NA UDAKE SALIO 
Salio la mkopo kutumika kupiga mitandao yote nchini
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa kuendeleza dhamira yao ya Uhuru wa kuongea imetoa fulsa nyingine kwa wateja wake kwa kuzindua huduma kabambe ya Daka salio ikiwa ni jitihada zake katika kutimiza dhamira yake ya kuendelea kutoa uhuru wa kuongea kwa wateja wake nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari Meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando by Jackson Mmbando alisema “Airtel tumeamua kuleta huduma hii ya Daka salio kwa wateja wetu wote waendelee kufurahia huduma zetu kila wakati, ikiwa sasa unaweza kukopa na kuongea na ndugu au rafiki wa mtandao wowote sasa hakunakubeep tena.

Hii ni huduma nzuri kwa familia, marafiki ndugu au jamaa kwa kuwa itaondoa tatizo la watu kubeep, Airtel tunasema kwanini ubeep au uteseke kukopa kiwango kikubwa na kulipa zaidi. Daka salio kidogo na ulipie kidogo na airtel. Ili kufurahia huduma hii ni rahisi na haraka tuma tu neno daka kwenda 15549. Uongee mwanzo mwisho, kwa raha zako.

Mteja yeyote anaweza kukopa ikiwa tu amekuwa mteja wa Airtel kwa mfululizosiku tisini, awe anasalio la hadi shilingi 50 na asiwe anadaiwa deni la Daka salio ikiwa alishakopa kupitia huduma hii Faida ya kukopa salio ya Airtel ni kwamba tunakukopesha kiwango kidogo ambacho utalipia kiduchu tu na utaongea kwa muda mrefu. Achana na wanaokopesha kiwango kikubwa halafu unaongea kidogo.

Mteja wa Airtel anaekopa salio kwa daka salio ataweza kukopa sh 180 na akitaka kulipa atalipa ziada ya sh 18 tu yaani atatoa jumla ya 198 tu, kwa hiyo hata ukiongeza salio la sh 500 bado utabakia na salio la kukuwezesha kufurahia uhuru wa kuongea toka Airtel.

Airtel imekuwa na ubunifu wa bidhaa na huduma zake zaidi kwa lengo la kufaidisha jamii kwa ujumla. Hivi karibuni ilizindua huduma ya SUPA 5 yenye dili tano bomba na inaendelea kutoa unafuu kwa wateja wa Airtel kupata sms 200 bure, kuongea na watu watatu kwa nusu shilingi siku nzima, kupata huduma ya facebook bure , intaneti bure usiku, pamoja na kongea kwa robo shilingi nyakati za usiku kwa kupiga tu *149*99# na kufuata utaratibu.

Airtel pia kupitia huduma yake ya Airtel money inawawezesha wajasiliamali waliowekeza katika kwa kuwa wakala wake nchi nzima pamoja na wateja wake, kwa wateja sasa wanapata mara mbili ya salio wanaloongeza kupitia huduma ya Airtel Moneywakati WAKALA wote nchi nzima watapata mara mbili ya kamisheni zao kwa mwezi juni - julai kwa mihamala yote watakayofanya kupitia Airtel Money.
WAKURUGENZI watano wa Taasisi ya Kusimamia na Kuendesha Upatu (Deci), wanaokabiliwa na kesi ya kuendesha shughuli za upatu bila kibali wamepatikana na kesi ya kujibu dhidi ya mashtaka yanayowakabili.

Wakurugenzi hao ambao ni wachungaji wa makanisa tofauti ya Pentecoste, walipatikana na kesi ya kujibu jana wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilipotoa uamuzi, baada ya kusikiliza mashahidi wa upande wa mashtaka.

Licha ya kudaiwa kuendesha shughuli za upatu bila kibali, wanakabiliwa na shtaka la kukusanya fedha kutoka kwa wananchi. Washtakiwa hao ni Jackson Mtares, Dominic Kigendi, Samuel Mtares, Timotheo Ole Loitingye na Arbogast Francis.

“Ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka unatosheleza kuwafanya washtakiwa kuwa na kesi ya kujibu, ambao hawana namna nyingine zaidi ya kujitetea wao wenyewe dhidi ya mashtaka,” alisema Hakimu Stuart Sanga katika uamuzi wake.

Wakati wa usikilizaji kesi hiyo, upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali Prosper Mwangamila, uliwaita mahakamani mashahidi 16 na vielelezo kadhaa kuunga mkono ushahidi wao.Baada ya uamuzi huo washtakiwa waliomba mahakama iwapatie muda wa kuwasiliana na mawakili wao kupanga jinsi watakavyojitetea na idadi ya mashahidi, ambao wanakusudia kuwaita kuwatetea.

Hakimu Sanga aliahirisha kesi hiyo hadi Julai 20 itakapotajwa na kupangiwa tarehe ya washtakiwa kuanza kujitetea.

Kwa mujibu wa hati ya mashtaka, washtakiwa hao wanadaiwa katika tarehe tofauti mwaka 2007 na Machi 2009 katika Makao Makuu ya Deci, Mabibo Dar es Salaam walikusanya fedha kutoka kwa wananchi wakiwaahidi kuwa watapata faida ya riba kubwa, katika mpango huo waliouita kupanda na kuvuna.

Washtakiwa hao zaidi wanadaiwa kuwa katika tarehe hizohizo walikubali kupokea fedha kutoka kwa wananchi wakati wakijua kuwa, walikuwa wakitenda kinyume cha sheria kwa kuwa hawakuwa na leseni ya kuendesha shughuli hizo.

CHANZO; MWANANCHI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi akiwasilisa bungeni makadirio na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2012/2013, mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi

JESHI la Polisi litaajiri askari wapya 3,000 wengi wao wakiwa wasomi kutoka taasisi za elimu ya juu.
Akiwasilisha makadirio ya Bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2012/13 katika kikao cha Bunge, Dodoma jana, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi alisema:

“Sehemu ya waajiriwa itapatikana kutoka katika shule na vyuo vya elimu ya juu na idadi nyingine kutoka vijana wa JKT (Jeshi la Kujenga Taifa). Utaratibu huu unalenga kuwa na askari wenye sifa stahiki na waaminifu kwa kazi ya Polisi.”

Alisema polisi wataendelea kuongeza ufanisi katika upelelezi wa makosa ya jinai na kwamba mwaka 2012/2013 litatumia vyuo vyake vya Dar es Salaam na Kidatu kutoa mafunzo kwa askari wa kufanya kazi hiyo.

Dk Nchimbi alisema mafunzo hayo ya ukusanyaji na uchambuzi wa taarifa za kiintelijensia na mbinu za kisasa za upelelezi, zitatolewa kwa maofisa, wakaguzi na askari wapatao 1,000.

US President Barack Obama joined millions of people around the world in wishing former South African president Nelson Mandela well on his 94th birthday on Wednesday.

"Mandela's extraordinary life and steadfast commitment to the principles of democracy and reconciliation continues to be a beacon for people of all backgrounds who strive for dignity, justice, and freedom," Obama said in a statement.

He described Mandela's personal story as one of "unbreakable will, unwavering integrity, and abiding humility.

"On a personal note, our family has been inspired by Madiba's example, and has deeply appreciated the time we have spent with him, and his wisdom, grace and generosity of spirit," Obama said.

"By any measure, Nelson Mandela has changed the arc of history, transforming his country, continent, and the world."

In 2009, the United States joined 192 United Nations member states in the creation of Nelson Mandela International Day. On this day, people honour Madiba's commitment to service and the betterment of communities.

People across South African and around the world have honoured the call to spend 67 minutes of their time on Mandela's birthday to better their communities and help the poor.

"There is no more fitting tribute to a man who has demonstrated to the world the extraordinary power of non-violence, of tolerance, and of unwavering service to our fellow men and women," Obama said.

Meanwhile, Mandela's home village of Qunu in the Eastern Cape was a hive of activity on Wednesday with festivities lined up to celebrate the statesman's birthday.

Mandela's longtime friend, former US president Bill Clinton, was in Qunu on Tuesday to wish Mandela well

SkyWest Airlines pilot Brian Hedglin, 40, was on administrative leave at the time of the incident.
SkyWest Airlines pilot Brian Hedglin, 40, was on administrative leave at the time of the incident.
STORY HIGHLIGHTS
  • Airplane struck terminal and vehicles
  • Suspect was being sought in Colorado Springs death, police say
  • Airline says employee was on administrative leave at time of incident
  • Commercial plane did not get airborne, official says

A SkyWest Airlines pilot on the run after allegedly killing his former girlfriend last week attempted to steal one of his company's commercial jetliners early Tuesday, but he killed himself before the plane became airborne, authorities said.

Police in Colorado and Utah spent all day Tuesday trying to piece together the bizarre incident, which involved a stolen CRJ200 that struck the terminal and parked vehicles at St. George Municipal Airport in Utah.

The fugitive was identified as Brian J. Hedglin, 40. SkyWest Airlines said he was on administrative leave.

Hedglin apparently used a rug or piece of carpet to scale a barbed wire fence to reach the plane, St. George police said.

"He is going to know exactly how to get into the plane, activate the redundant systems and take that plane off," said Capt. James Van Fleet.

Hedglin and Christina Cornejo, 39, who was found dead Friday of stab wounds in Colorado Springs, both served in the Colorado Army National Guard, officials said.

Cornejo was found at Hedglin's residence, but authorities don't know whether she went there voluntarily or was abducted, Colorado Springs Police spokeswoman Barbara A. Miller told CNN.

No passengers were on board the CRJ200, and it was not in service at the time of Tuesday's incident in Utah, the airline said.

Hedglin, who joined SkyWest in 2005, was found dead in the plane's aisle from an apparent self-inflicted gunshot wound, Van Fleet told reporters.

A security officer checking the airport's perimeter shortly before 1 a.m. first saw a motorcycle, its engine still warm. The officer went back to the terminal to check on its registration, police said.

The officer saw the aircraft in the parking lot of the airport terminal, its engines still running, said Van Fleet. Several automobiles were damaged. The plane at some point clipped the terminal building and breached a fence, according to CNN Salt Lake City affiliate KSL.

St. George city spokesman Marc Mortensen said the pilot reversed the aircraft off the jet bridge before pushing it forward.

The left wing clipped the bridge and the plane turned left, scraping the terminal building en route to the parking lot. The aircraft leaked some fuel.

Asked why the pilot may have driven to St. George, Van Fleet replied, "The person who has those answers, unfortunately, is dead."

Van Fleet said, "I don't think we're any more vulnerable than any other airport," but officials said they would review security.

Cornejo was found dead after a call from a family member, Colorado Springs police said. The pair were not dating at the time of Cornejo's death, Colorado Springs police said.

Hedglin was immediately identified as a suspect.

"Detectives went so far as to contact SkyWest and have them deactivate Mr. Hedglin's access cards in the event he showed up there," police said. Police also believed Hedglin might try to hide in mountains, according to Miller.

Airline spokeswoman Betsy Talton said law enforcement officials will look into how Hedglin might have gained access to the airplane.

SkyWest provided few details on exactly what occurred.

"The aircraft did sustain damage; the extent of the damage is currently being inspected by our maintenance and safety professionals," the airline said. "SkyWest is assisting authorities in the investigation."

SkyWest said passengers were being accommodated on other flights and through ground transportation.

The FBI office in Salt Lake City said agents were at the airport and gathering facts with other agencies.

"It is important to note there is no ongoing public safety issue, and the scene is under the control of law enforcement," Agent Debbie D. Bertram said.

Spokesman David Castelveter of the Transportation Safety Administration said the agency was reviewing "perimeter compliance" at the airport.

According to Jane's All the World's Aircraft, the CRJ200 typically seats 50 passengers.

The Boy Scouts of America has affirmed its policy of
The Boy Scouts of America has affirmed its policy of "not granting membership to open or avowed homosexuals."
STORY HIGHLIGHTS
  • The policy affects "open or avowed homosexuals"
  • The decision was reached after a nearly two-year evaluation
  • "This is the best policy for the organization," a BSA executive committee says
  • The National Gay and Lesbian Task Force calls the decision "disappointing"

The Boy Scouts of America announced Tuesday it has affirmed its policy of "not granting membership to open or avowed homosexuals."

The organization's leaders reached that decision after a nearly two-year evaluation and will take no further action on a resolution that has sought a change in policy, it said in a news release. It had said last month that it would consider a resolution asking that local units be allowed to determine their own standards.

BSA's chief scout executive and national president had convoked a committee of volunteers and professional leaders to evaluate the policy.

MORE STORIES ...

Survey: Google+'s strong showing is a result of an absence of advertising and
Survey: Google+'s strong showing is a result of an absence of advertising and "a superior mobile product."
STORY HIGHLIGHTS
  • New survey ranks Google+ as the most-liked social network
  • Google+ scored 78 of 100, while Facebook scored 61
  • The data come from the American Customer Satisfaction Index

(CNN) -- Facebook may be more populous, but Google+ is better-liked.

That's the message from a new set of data released Tuesday by the American Customer Satisfaction Index. Google+, the 1-year-old social network that pundits declared dead last year, ties Wikipedia at the top of the list of social media sites, with a score of 78 out of 100.

Facebook is the least-liked social network on the list, with a score of 61 on the group's ranking of e-businesses.

That's down nearly 8% from Facebook's previous ranking, indicating a drop in popularity of the social network that is by far the world's most populous, with more than 900 million active users. By contrast, Google+ has about 150 million monthly active users.

"If Facebook doesn't feel the pressure to improve customer satisfaction now, that may soon change," ForeSee's CEO, Larry Freed, said in a news release. ForeSee is an analytics firm that partnered with ACSI to create the report.

This was the first year Google+ was included in the ranking, which is based on interviews with consumers. ACSI, which releases monthly reports in a variety of business categories, says it interviews 70,000 people a year.

With a rating of 63, LinkedIn, another popular network, barely scored higher than Facebook in terms of customer satisfaction in Tuesday's report. YouTube, which is owned by Google, received a 73; Pinterest a 73; and Twitter a 64. (MySpace, in case you're wondering, isn't part of the list anymore).

Some people who use Google+ weren't surprised by the ranking.

"Makes sense," one user wrote in response to a CNN question about the news. "I'm sure a lot of people use Facebook because they genuinely love it, but a huge number are also using it because they feel forced to -- because everyone else they know is using it, or they think they need to have a business presence there. So there are many people using Facebook on a regular basis who don't actually like it and have plenty to complain about. Whereas the majority of people using Google+ regularly only bother to do so because they really prefer it over other sites like Facebook."

ACSI says Google+ is strong in areas where Facebook is weak.

"According to the report, Google+'s strong showing is a result of an absence of traditional advertising and what is seen as a superior mobile product," the group says in its news release.

"Google+'s strengths may be Facebook's weaknesses, as users complain about ads and privacy concerns. However, the most frequent complaints about Facebook are changes to its user interface, most recently the introduction of the Timeline feature."

The index was founded at the University of Michigan and gets support from ForeSee for its e-commerce and e-business rankings.

Are you surprised to see Google+ ranked above Facebook? Let us know what you think in the comments section.
An aerial view taken on 5 February 2008 120km (75 miles) off the coast of Nigeria,, shows the FPSO Bonga (Floating, Production, Storage and Offloading) Shell's offshore Bonga field produces 10% of Nigeria's oil exports

Nigeria's oil regulator has asked industry giant Shell to pay $5bn (£3.2bn) for a spill off the country's southern coast last December.

The disclosure was made during a parliamentary hearing on the matter.

A leak at the Bonga field during a transfer of oil to a tanker led to 40,000 barrels spilling into the Atlantic Ocean.

A Shell spokesperson said there was no need for a fine as everything had been done to prevent environmental damage.

The Bonga field, operated by Shell Nigeria Exploration and Production Company (Snepco), is approximately 120km (75 miles) offshore and produces 10% of Nigeria's oil exports.

The spill was contained before it reached the shore.

The head of Nigeria's National Oil Spill Detection and Response Agency urged MPs on the House of Representatives's environment committee to approve his proposal.

"Although adequate containment measures were put in place to combat the Bonga oil spill, it however posed a serious environmental threat to the offshore environments," Peter Idabor said.

"The people could not fish after a long period after the spill," he later told the BBC's Focus on Africa programme.

"So that's why we are looking at the damages. If the people said they will not pay, so be it. But we want to make it very clear that it's wrong for them to say they cannot pay. Are they denying that they spilled 40,000 barrels of crude oil into the waters?" he asked.

But Shell said it believed there no "basis in law for such a fine".

"Snepco responded to this incident with professionalism and acted with the consent of the necessary authorities at all times to prevent environmental impact as a result of the incident," a spokesperson for the Anglo-Dutch company said in a statement sent to the BBC.

Most previous oil spills in Nigeria - one of the world's biggest oil producers - have been onshore. Many have been caused by sabotage or militant attacks.

Last year, a UN report into spills in Ogoniland found that the region could take 30 years to recover.

In March, lawyers representing a fishing community in Ogoniland began a case against Shell in a London court over recent oil spills.



RASIMU YA ANDIKO LA MPANGO WA KAMPENI YA UTII WA SHERIA ZA NCHI BILA SHURUTI
UTANGULIZI

Jeshi la Polisi Tanzania kwa kushirikiana na wadau wakewa HAKIJINAI, limeanzisha kampeni ya kuiwezesha jamii kutambua umuhimu wa utii wa sheria za nchi na taratibu za jamii bila shuruti.
Kampeni hii ni moja ya juhudi zinazolenga kuboresha maadili ya jamii kama msingi wa maendeleo yanayozingatia usalama, amani na utulivu ambazo ni nguzo za ustawi wa kijamii, kiuchumi na kiutamaduni.
Msingi wa kampeni hii unalenga kuongeza ari na moyo wa uzalendo unazingatia uwajibikaji katika harakati za kujiletea maendeleo bila kuvuja sheria za nchi.
LENGO KUU
Kuongeza kiwango cha utii wa sheria za nchi bila shuruti jambo ambalo litasaidia kupunguza uhalifu na matumizi ya shuruti katika usimamizi ya utiifu wa sheria za nchi. Utaratibu huu pia utasaidia kupunguza gharama katika oparesheni za kupambana na uhalifu.

Aidha, utii bila shuruti utasaidia kupunguza msongamano wa kesi mahakamani na idadi ya wafungwa/mahabusu wanaotakiwa kuhudumiwa na Idara mbalimbali kwa kodi za wananchi.


BAADHI YA FAIDA ZA KAMPENI YA UTII BILA SHURUTI
Kampeni hii ina faida nyingi, baadhi ya faida hizo ni:-
1. Kuiwezesha jamii kuishi salama kwa amani na utulivu kwa kutii sheria bila shuruti hivyo kuepusha migogoro na vurugu.
2. kupunguza hali ya watu kuishi kwa shaka au wasiwasi wa kudhurika na matendo ya kihalifu.
3. Kupunguza wananchi wanaokaidi kutii sheria za nchi na kupelekea matumizi ya nguvu yasiyo ya lazima dhidi yao
4. Kuongezeka kwa ushirikiano baina ya vyombo vya dola na jamii
5. Kupunguza idadi ya migogoro ya kisheria, yaani washitakiwa au walalamikaji.
6. Kupunguza mrundikano wa kesi na kuboresha utendaji wa wadau wa HAKIJINAI.
7. kuwa na jamii adilifu, inayojali utiifu wa sheria, kanuni na taratibu za nchi kwa maendeleo endelevu. unaolenga kuboresha maadili ya uwajibikaji na utii sheria za nchi na taratibu za jamii kuanzia ngazi ya familia hadi Taifa.
WADAU MUHIMU
1. Jamii kwa ujumla
2. Vyombo vya dola, Wizara na taasisi ambazo ni wadau wa
HAKIJINAI.
3. Vyama vya siasa
4. Taasisi za kijamii (Vyombo vya habari, madhehebu ya dini,
asasi nk).
BAADHI YA HATUA MUHIMU ZA UTEKELEZA
Mpango huu wa kuhamasisha jamii kutii bila shuruti, utakuwa na mpango mkuu na mipango midogomidogo ambayo italenga kutimiza mpango mkuu katika kila himaya. Kila himaya, kuanzia makao makuu, Mikoa, wilaya hadi vituo wataweka utaratibu wa kuwezesha jamii kutambua na kuchukua hatua za kutii bila kungoja
kushurutishwa.
Aidha, kwa hatua ya awali mambo yafuatayo yatatekelezwa:-
1. Kuzindua mpango huu kitaifa
2. Kuwawezesha Makamanda wa Mikoa yote kutambua jinsi ya
kutekeleza mpango huu
3. Kuwawezesha taasisi ambazo ni wadau wa haki jinai kutambua
na kutumia fursa katika kutekeleza mpango huu.
4. Kudai mrejesho kila robo ya mwaka.

Job Role: Human Resources Officer

Location: Dar es salaam

Job Type: Contract

Date Posted: 17-Jul-2012

Closing Date: 25-Jul-2012

Contact: myjobstz@yahoo.com

Advertiser Name: Greenbelt fertilisers Tanzania Limited

Greenbelt fertilisers Tanzania Limited is a newly established agricultural company in Tanzania. As a continually growing, evolving and innovative business, the position of Human Resources Officer has arisen.

The primary role for the position will be as specified below:

· Assisting in implementation of HR Policies and strategies as may be agreed within the department

  • Participating in recruitment and selection process that is; advertising, short listing, interview, preparation of offer letter and induction process
  • Ensure timely filling and updating of staff documents
  • Updating line managers on leave position of their department on quarterly basis
  • Handling staff pension contributions in NSSF and PPF
  • Consolidate payroll inputs for end of the month salary preparation
  • Handling staff transitions, preparation of transfer letters and advising staff accordingly
  • Participate in staff disciplinary issues and advise staff the outcome or decisions on the same accordingly
  • Participation in termination process from end to end to ensure compliances
  • Provide HR/Administrative support as required, word and data processing
  • Ensuring cost effectiveness and ordering of all office stationery and sundries in line with usage and re order levels and ensure timely replenishment
  • Compiling monthly HR Report
  • Processing and follow up of work permits for non residence
  • Ensuring offices and company compounds are clean

The key skills the successful applicant must display are;

· The ability to prioritise tasks within strict deadlines

· Knowledge of understanding Tanzania Employment labour laws

· Good negotiating skills

· Be computer literate

The ability to ‘multi task’ effectively under pressure

A competitive package will be offered to the right applicant.


FOR MORE DETAILS VISIT: ZOOM TANZANIA.

CLICK HERE