Benghazi waandamana kudai amani
By Unknown - Sep 22, 2012
Muandamanaji mmoja, Faisla al-Naas, alieleza sababu zao: "Sisi tunaandamana kupinga kundi lenye silaha ambalo halidhibitiwi na serikali. Wapiganaji hawa wanafaa kujiunga na serikali ili watu wakae kwa salama.
Nchi yetu imekuwa na mtafaruku."
Maandamano mengine ya kuunga mkono wapiganaji yalikuwa madogo sana.
Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS
ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII