April 16, 2025

HABARI MPYA LEO  

NAFASI ZA KAZI

SENIOR PLANNING OFFICER      Qualifications: Bachelor’s Degree in Economics, Statistics, Planning, Bu...

Published by Admin

ACADEMIC NEWS AND SELECTION

TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA (TUMA) FIRST LIST OF ADMITTED STUDENTS INTO VARIOUS PROGRAMMES AT (TUMA) 2012- 2013 INTAKE 1. Th...

Published by Admin

MAKALA MBALIMBALI

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Published by Admin

MICHEZO NA BURUDANI

Mshambulizi wa timu ta taifa ya soka ya Uganda Cranes, Uganda, Robert Ssentongo, ameteuliwa kuwa mchezaji bora wa mashindano y...

Published by Admin

Do you remember this?

By Mhariri - Aug 23, 2012


Ni mara ngapi mapenzi yamekuendesha na kutaka kuhatarisha kazi za watu au jamii au hata kuhatarisha maisha yako kwa njia moja ama nyingine? Ni kwa nini katika upendo kuna upofu fulani? Mtu unaweza kufanya jambo hatimaye ukitulia ndipo unakuja kuona hasara zake endapo lingetokea la kutokea? 

Take care. Mwana falsafa mmoja anasema kuwa jiepushe kufanya maamuzi ukiwa katika furaha sana au ukiwa katika hasira sana. Daima maamuzi yanayofanywa mtu akiwa na furaha sana au akiwa na hasira/huzuni daima huwa ni mabaya tu! Ndio pale mtu unaweza kuahidi hata kununua ndege wakati pesa tu ya kula jioni huioni mfukoni.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII

Pages 22123456 »