Chelsea Bingwa FA
By Maganga Media - May 6, 2012
Aifungia Chelsea bao la pili na kuiwezesha kupata ushindi katika fainali ya Kombe la FA |
Liverpool walionyesha mchezo duni hadi Andy Carroll alipofunga bao moja baada ya John Terry kukosa kuimarisha ngome ya Chelsea kikamilifu, na mabao kuwa ni magoli 2-1.
Kulikuwa na ubishi kwa muda uwanjani baada ya Carroll kudhani alikuwa amefunga bao la kusawazisha kwa kichwa, na Petr Cech kuutema mpira huo, ambao kwanza uligonga mwamba na kuanguka mbele ya msitari. Wachezaji na mashabiki wa Liverpool wote walidhani mpira ulikuwa umevuka msitari.
Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS
ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII