HABARI MPYA LEO  

TIDO MHANDO BOSI MPYA MWANANCHI COMMUNICATIONS

By Maganga Media - Mar 22, 2012

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Kampuni ya Mwananchi Communication, Profesa Palamagamba Kabudi akimkaribisha ofisini Mkurugenzi Mtendaji mpya wa MCL Tido Mhando, katikati ni Mhariri Mtendaji wa kampuni hiyo Theophil Makunga


BODI ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imemteua Mwandishi wa Habari Mkongwe barani Afrika, Tido Mhando kuwa Mkurugenzi mpya wa kampuni hiyo kuanzia jana.
Maganga Media

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII