March 13, 2025
 

HABARI MPYA LEO  

NAFASI ZA KAZI

SENIOR PLANNING OFFICER      Qualifications: Bachelor’s Degree in Economics, Statistics, Planning, Bu...

Published by Admin

ACADEMIC NEWS AND SELECTION

TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA (TUMA) FIRST LIST OF ADMITTED STUDENTS INTO VARIOUS PROGRAMMES AT (TUMA) 2012- 2013 INTAKE 1. Th...

Published by Admin

MAKALA MBALIMBALI

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Published by Admin

MICHEZO NA BURUDANI

Mshambulizi wa timu ta taifa ya soka ya Uganda Cranes, Uganda, Robert Ssentongo, ameteuliwa kuwa mchezaji bora wa mashindano y...

Published by Admin

Misa ya marehemu yafanyika Afrika kusini

By Mhariri - Aug 24, 2012

Waombolezaji nchini Afrika Kusini
Waombolezaji nchini Afrika Kusini
Maelfu ya watu nchini Afrika Kusini wamehudhuria misa ya kuwaombea watu waliouawa katika machimbo ya Marikana ya madini ya Platinum. Watu thelathini na wanne waliuawa na polisi kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano ya wachimba mgodi huo wakidai malipo zaidi, wiki moja iliyopita.

Misa hiyo ilivurugwa kwa muda kufuatia kuwasili kwa mamia ya wafanyakazi wa mgodi walio katika mgomo, baadhi yao wakiwa wamebeba mapanga. Misa kama hiyo zinafanyika nchini kote Afrika Kusini.

Rais Jacob Zuma anatarajiwa kuanisha hadidu za rejea kwa tume ya kuchunguza mauaji hayo. Bwana Zuma hakushangiliwa wakati alipotembelea eneo la tukio la mgodi wa Marikana Jumatano. Mgogoro huo umesambaa katika migodi mingine ya platinum nchini humo.

Afrika Kusini inazalisha robo tatu ya madini hayo ya Platinum kote duniani na bei ya madini hayo imepanda kutokana na wasiwasi wa kushuka kwa uzalishaji nchini Afrika Kusini.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII

Pages 22123456 »