HABARI MPYA LEO  

Simba yatolewa Kagame kwa 3 - 0

By Unknown - Jul 25, 2012


Mchezaji wa timu ya Simba ya Tanzania akijaribu kuondoka na mpira kuelekea golini mwa timu ya Azam FC katika mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa jioni hii ikiwa ni michuano ya Kombe la Kagame. Azam FC imeinyuka Simba mabao 3-1.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII