HABARI MPYA LEO  

Tamasha la WAJANJA lafana

By Unknown - Jun 18, 2012


Mmoja wa wakazi wa jijini Dares Salaam aliyefika Coco-Beach kushuhudia uzinduzi wa Tamasha la”WAJANJA”Linaloendeshwa na Vodacom Tanzania akipata huduma ya Vodacom Dstv


Umati mkubwa wa watu



Msanii wa kikundicha cha Pah- one akipagawisha wakazi wa jiji la Dares Salaam waliofika katika uzinduzi wa tamasha la”WAJANJA” tamasha hilo linaendeshwa na Vodacom Tanzania.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII