HABARI MPYA LEO  

Buriani Willy Edward!

By Unknown - Jun 24, 2012



Waombolezaji wakiwa katika msiba wa marehemu Willy Edward nyumbani kwao Molotonga, Mugumu Mjini, Serengeti, mkoani Mara, leo



Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Willy Edward.



Baba wa marehemu Willy Edward, Edward Ogunde akilia baada ya kutoa heshima za mwisho kwa nmwili wa mwanawe


Watoto wa marehemu Willy Edward, Colman na Careb wakiweka shada la maua kwenye kaburi la baba yao.



Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacquiline Liana akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Willy Edward nyumbani kwao marehemu Molotonga, Mugumu Mjini.



Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kapteni mstaafu James Yamungu akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Willy Edward.



Mjane wa aliyekuwa Mhariri Mkuu wa gazeti la Jambo Leo, marehemu Willy Edward, Rehema akimbusu mumewe wakati wa kuuaga muda mfupi kabla ya maziko nyumbani kwao Molotonga, Mugumu Mjini, Serengeti jana.


Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mara, Hilikia Omindo akiiongoza familia ya marehemu Willy Edward kuweka udongo kwenye kaburi wakati wa maziko.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII