HABARI MPYA LEO  

TANGAZO MUHIMU KWA WAOMBAJI WA VYUO VIKUU MARA YA PILI TCU

By Maganga Media - Mar 17, 2012

Tume ya vyuo vikuu Tanzania (TCU) imetangaza maelekezo muhimu kwa waombaji wa vyuo vikuu waliochaguliwa mwaka jana lakini hawakuweza kuripoti vyuoni kwa sababu mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa hii, waombaji wote waliochaguliwa mwaka jana na hawakuripoti vyuoni HAWATARUHUSIWA KUOMBA TENA MWAKA HUU mpaka waandike barua TCU kabla ya Tar 30.03.2012 kuelezea:

1. Jina la chuo na kozi uliyokuwa umechaguliwa
2. Sababu za kushindwa kuripoti
3. Namba ya mtihani wa kidato cha nne na cha sita pamoja na miaka ya kumaliza
4. Maandalizi yako ya kukabiliana na changamoto zilizokufanya ushindwe kuripoti chuo mwaka wa masomo uliopita
IMETOLEWA NA KATIBU MKUU TCU






All letters should be submitted to TCU before 30th March 2012 and be addressed to:
Executive Secretary
Tanzania Commission for Universities
P. O. Box 6562
DAR ES SALAAM.
For more information contact TCU through:
Tel No.: (255) (22) 2772657
Fax:  (255) (22) 2772891
Website: www.tcu.go.tz

Issued by
TCU Executive Secretary

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII