HABARI MPYA LEO  

TSC Mwanza Yarejea Kutoka Ujerumani Na Vikombe Kibao

By Mhariri - Aug 8, 2012



Viongozi wa kituo hicho wakiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu hiyo kutoka TCS Mwanza mara baada ya kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam wakiwa na mataji yao waliyoijishindia na zawadi mbalimbali.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Street Children Sports Academy TSC ya Mwanza,Mutani Yangwe akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF Karume wakati akielezea mafanikio ya timu ya Academy yao waliyoyapata kutoka nchini Ujerumani na kunyakua mataji mbalimbali na zawadi kemkem.


Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII