Diamondi kupiga show Marekani
By Mhariri - Aug 23, 2012

J.Martins ambaye kwa sasa yupo nchini Marekani akichukua kozi maalum ya miezi mitatu ya masuala ya utayarishaji, tayari anausubiri wimbo huo ili aingize sauti yake.
Katika hatua nyingine Diamond anaelekea mjini Washngton DC nchini Marekani kwaajili ya show. Kwenye safari hiyo Diamond anaenda na madansa wake wote wanne na msemaji wake.
Kwa mujibu wa Power Jams ya East Africa Radio, Diamond atafanya show kwenye mkutano mkubwa unaofanyika Marekani ambao wahudhuriaji wamemtaka akawape burudani.
Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS
ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII