HABARI MPYA LEO  

Miss Dar Intercollege yashika kasi!

By Maganga Media - May 31, 2012


 Baadhi ya warembo wanaowania taji la Miss Dar Inter College 2012 wakiwa katika pozi mara baada ya mazoezi yao ya kila siku yanayofanyika kwenye hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Mkufunzi wa warembo hao Marylydia Boniface akiwapa maneno mawili matatu warembo hao.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII