Kesi ya BoT kusomwa Juni 25
By Maganga Media - May 24, 2012
Baada ya kutoa maelezo hayo, Hakimu Tarimo alisema anaiahirisha hadi Juni 25, mwaka huu kwa sababu hakimu anayeisikiliza Hakimu Mfawidhi, Alvin Mgeta hayupo.
Washtakiwa wanaokabiliwa na kesi hiyo ni Maranda, Farijala Hussein, Ajay Somani na ndugu yake Jai Somani pamoja na wafanyakazi wawili wa BoT, Ester Komu ambaye anadaiwa kuwa wakati wizi huo unafanyika alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Madeni na Bosco Kimela ambaye alikuwa Kaimu Katibu wa BoT.
Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS
ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII