HABARI MPYA LEO  

Mapigano makali yaendelea Syria

By Mhariri - Aug 5, 2012

Duru za kijeshi zinasema kuwa wanajeshi 20,000 wa Syria sasa wako katika eneo la mji wa Aleppo, ambako jeshi linapigana kuwatoa wapiganaji mjini humo.
Moshi umetanda juu ya mtaa wa Salah al-Din, katikati ya Aleppo
Ndege za kijeshi, helokpta zenye bunduki kubwa na mizinga inashambulia maeneo ya wapiganaji. Lakini mwandishi wa BBC anasema wapiganaji wameongezeka mjini Aleppo, na wamejizatiti sawa-sawa. Katika mji mkuu, Damascus, jeshi lilisema limelikomboa eneo la mwisho muhimu kwa wapiganaji.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII