HABARI MPYA LEO  

Mapokezi ya Mbuyu Twite

By Mhariri - Aug 30, 2012

 Beki wa kimataifa wa Yanga Mbuyu Twite akionesha jezi namba 4 aliyovikwa na mashabiki wa Yanga mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege leo. Jezi hiyo ambayo imeandikwa 'RAGE' ni jina la Mwenyekiti wa Simba Ismail Aden Rage inanokana ni kijembe kwa mahasimu hao wa Yanga ambao awali walitangaza kumsajili kwa dau la dola 30,000 kabla ya Yanga kumpandishia hadi dola 50,000.
 Hapa Twite akivishwa jezi hiyo yenye jina la Rage na mwanachama maarufu wa Yanga
 
PICHA NA HABARI KWA HISANI YA SPORTS LADY, Dina Ismail

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII