HABARI MPYA LEO  

Yanga Bingwa Kagame!

By Unknown - Jul 28, 2012

Yanga yaichapa Azam 2-0 na kujitwalia ubingwa wa Kombe la Kagame huku Hamisi Kiiza akiwa ndio mfungaji wa goli la kwanza la Yanga ndani ya dakika ya 43 kipindi cha 1.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII