HABARI MPYA LEO  

Man U waipiga Shanghai Shenhua 1-0

By Unknown - Jul 26, 2012

Wakiwa kwenye mazoezi kabla ya mechi.
Mazoezi.
.
Wakiwa wanaingia uwanjani.
Game ndio inaanza.
.
.
.
Rio Ferdinand wa Manchester United akiwa na kombe waliloshinda China baada ya mechi hiyo, Man U iliishinda Shanghai Shenhua 1-0 ambapo mchezaji mpya wa Man U Shinji Kagawa ndio alilifunga na kuwa goli lake la kwanza toka aingie kwa Sir Alex Ferguson.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII