HABARI MPYA LEO  

Hollande apata wabunge wengi!

By Unknown - Jun 18, 2012

Paris- Chama cha kisosholisti cha Ufaransa kimepata viti vingi katika bunge la chini kwenye uchaguzi wa duru ya pili siku ya jumapili.Imefahamika kuwa chama hicho kimepata viti 291 kati ya 577 na hivyo kukifanya kuwa na uwezo wa kupitisha miswada ya kuongeza ushuru na kufanyia mabadiliko makubaliano ya ulaya ya kubana matumizi.Matokeo hayo pia yatampa nguvu rais wa Ufaransa Francois Hollande kufanyia mabadiliko sheria za kufanya kazi, mfumo wa elimu na mabadiliko ya fedha ili kusaidia ukuaji wa uchumi nchini humo.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII