HABARI MPYA LEO  

Serikali yatoa Ubani Kwa familia ya Kanumba

By Maganga Media - May 31, 2012

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Amos Makalla  akikabidhi kiasi cha shilingi milioni kumi kwa mama wa marehemu Steven Kanumba ikiwa ni rambirambi ya Serikali kwa familia.
 Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Amos Makalla akikabidhi bendera kwa Timu ya Taifa ya mchezo wa Golf inayotarajiwa kusafiri kwenda Gaborone Botwsana kwa ajili ya mashindano ya chalenji ya Afrika kwa upande wa Wanawake.Wapili kushoto ni Mh. Mery Chatanda (Mbunge).
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Amos Makalla akikabidhi bendera kwa Kapteni wa Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu Juma Kaseja,timu hiyo inatarajiwa kusafiri leo kwenda Ivory Coast kwa ajili yakuwania tiketi ya kushiriki Fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII