HABARI MPYA LEO  

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2012

By Maganga Media - May 1, 2012


Katibu mtendaji Dkt. Joyce Ndalichako leo ametangaza matokeo ya form six,

Shule iliyoongoza ni MARIAN GIRLS ya Bagamoyo.

Pia amepunguza adhabu ya miaka 3 na kuwa mwaka 1,  iliyokuwa imetolewa kwa watahiniwa waliobainika kufanya udangayifu wa matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2011.




CLICK HERE TO VIEW THE RESULTS

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII