HABARI MPYA LEO  

Wanaume wa Kenya wamuwania Ray C

By Mhariri - Aug 26, 2012


Hivi karibuni mwanamuziki wa kike wa nchini Tanzania, Rehema Chalamila aka Ray C amerejea nchini baada ya kukaa Nairobi, Kenya kwa zaidi ya mwaka mmoja.


Alipozungumza  hivi  karibuni  baada  ya kufika, mrembo huyo alisema anahitaji mume wa maana ambaye atamuoa.

“Sina mume wala mpenzi, kwa sasa nipo single, ukiniulizia ishu za zamani ntakushangaa kweli, vigezo ndiyo hivyo, kama kuna mtu yupo tayari ajitokeze tufunge ndoa,” alisema Ray C.

Aliongeza kuwa akimpata mume huyo yupo tayari kumzalia watoto wawili na amechoka na maisha ya usela na kuwa na mahusiano na watu maarufu.

Wanaume wa Kenya wamekisikia kilio chake na wamewasiliana na mtandao wa Daily Post wa Kenya kumwambia Ray  C watampa penzi moto moto.

“Ray C if u wish 2 huk up wit mi,take tiz no.0702868104, I’m in Thika central Kenya.”

“Hey somebody hook me up with the gal”

“She is a super hot chick !! What’s her email ? Lets hook up!”

“I am here to satisfy your needs”

“d.mokoro@yahoo.com.she can reach me, I also need a wife seriously”

“Rehema Chalamila contact me at danielluke76@gmail.com”

“Yes I can got me on diemoadish@gmail.com please”

“Come Baby come!”

“She is a very awesome lady n av always liked her. We all have past’s n it’s not something to keep on holding to … I am interested in her, to ask her out. I think she’s a good lady.”

“Ray C, if you come across this, reach me on wilnj85@gmail.com”

Katika hatua nyingine mtandao huo umesema kulikuwa na tetesi kuwa mhasibu wake nchini Kenya alimuibia pesa zake zote na hivyo akajikuta akishidwa kumudu maisha kwenye maeneo ya kifahari na hivyo kuhamia South B ambako alikuwa akiishi maisha ya kawaida.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII