HABARI MPYA LEO  

BBA mshindi Keagan!

By Mhariri - Aug 6, 2012

KEAGAN (kati)
Prezzo
Hayawi hayawi, hatimaye yamekuwa! Ni Msauzi Keagan! Ameibuka kidedea katika kinyanyiro cha Big Brother Afrika na amejinyakulia dola za Kimarekani 300,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 400 za kibongo! Prezzo ameingia fainali na Msauzi huyo lakini bahati haikuwa yake!

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII