HABARI MPYA LEO  

Uchaguzi YANGA, fomu kesho kutwa!

By Maganga Media - May 31, 2012


 Katibu wa kamati ya uchaguzi ya Yanga Francis Kaswahili (pichani) akizungumzia uchaguzi huo ambapo amewataka wanachama wote ambao hawajalipa ada kufanya hivyo ili kuweza kushiriki katika mkutano huo. 
Alisema kupitia uchaguzi huo zitajazwa nafasi za Mwenyekiti,Makamu Mwenyekiti na wajumbe wanne ambapo wanachama wayakaowania uongozi wanatakiwa kuwasilisha fomu zao wakiambatanisha risiti ya kununulia fomu, vyeti vya shule, uthibitisho wa uraia, namba ya uanachama na picha mbili za passport size.

Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS

ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII