Ndege mpya ya ATCL
By Maganga Media - May 14, 2012

Ndege hii mpya ya Boeing 737-500 inaanza safari zake wiki ijayo, Dar-Jro-Mwanza.

C.E.O wa Air Tanzania Paul Chizi akizindua rasmi ndege hiyo jana.

.

.

.

.

.

Baadhi ya wafanyakazi wa Air Tanzania wakiwa na mabango, likiwemo la kumkaribisha waziri mpya wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe.
Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS
ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII