MAN UNITED YAPAA ENGLAND
By Maganga Media - Apr 16, 2012
![]() |
Rooney na Wellbeck |
Rooney aliwainua tena vitini mashabiki wa Man U dakika ya 73 alipofunga bao la tatu na Nani akafunga la nne dakika ya 90.
United sasa ina pointi 82, baada ya kucheza mechi 34, sawa na wapinzani wao Man City wenye pointi 77.
Arsenal ni ya tatu kwa pointi zake 64, Spurs ya nne kwa pointi zake 59 sawa na Newcastle ya tano, wakati Chelsea yenye pointi 57 ni ya sita.
Follow Maganga Media on Twitter, Feel free to like and comment Facebook. Stay updated via RSS
ANDIKA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII